NIMEFANYA MAPENZI NA MWANAUME AMBAE SIO BABA WA MTOTO WANGU
Read More
Mimi nina mtoto wa miezi 10 sasa, niliachana na aliyenipa ujauzito nikiwa na mimba ya miezi 2 mwaka jana mwezi wa 2, na tangu mwaka jana nilikua sijakutana kimwili na mwanaume yoyote yaani nimekaa mwaka 1 na miez 5.
Miezi mitatu iliyopita nilikutana na kaka mmoja akawa anataka kunioa, but juzi nikashiriki nae tendo kibinadamu, na mimi na hisia kweli.Nilisex nae mara 1 tu na nilienda kuoga kabla sijamnyonyesha mtoto.
Naomba kuuliza inaweza kumdhuru mtoto?
Je, nifanyeje?
Msinielewe vibaya ndugu yangu baba mtoto yuko mbali na ana mwanamke mwingine .
Hana muda na mimi kabisa, mimi ni binadamu hisia zilinizidi tu nikawa nimefanya hivyo.
USISAHAU KUSHARE NA KUCOMMENT APPLICATION YETU YA KONA YA MAHABA❤️😘😍 https://play.google.com/store/apps/details?id=tz.konayamahaba.app&hl=en
0 Response to " NIMEFANYA MAPENZI NA MWANAUME AMBAE SIO BABA WA MTOTO WANGU"
Post a Comment