MAHAWARA WANAOFANIKIWA KUNG’ANG’ANIWA - Bongo Loves

MAHAWARA WANAOFANIKIWA KUNG’ANG’ANIWA

Read More

Image result for warembo
Katika kazi yangu ya kutoa ushauri nimeongea na watu wengi waliomo kwenye ndoa na pia wezi wa mapenzi. Inaumiza sana kugundua kuwa mpenzi uliyekuwa umemwamini sana kumbe alikuwa anakusaliti kwa muda mrefu na si ajabu wengine utakuta wamezaa na mahawara.
Kwa kuwa asilimia 97% ya wateja wangu ni wanaume tafiti yangu imenisaidia kuona vitu ambavyo kwa sehemu kubwa hupelekea mwanaume kung’ang’ania hawara kwa muda mrefu. Nimeorodhesha mambo ambayo wake au wapenzi wa kike (kwa wale ambao hawajaolewa) husindwa kufanya na mahawara hufanya kwa bidii na usahihi zaidi.
MAHAWARA WENGI HUONYESHA UPOLE
Hawara ni mtu ambaye anataka kupendwa na ampatapo mwanaume ambaye tayari ana mpenzi au mke anajijua kuwa ameingia kwenye mashindano na hakuna anaefurahi kushindwa. Hawara atakuwa mpole na ataonyesha upole huo kwa jinsi anavyoongea nae, halazimishi au kung’ang’ania jambo fulani. Atatumia sauti za kimahaba na macho yenye kuonyesha penzi analohitaji mwanaume. Kwa mwanaume ambaye kazini au katika mahangaiko ya kimaisha anapata changamoto nyingi anahitaji mtu mwenye sifa hizo na zaidi mwanamke asiyeleta madai ya hili na lile anakuwa faraja kwa nafsi iliochoka. Mwanamke anayemfanyia mwanaume mambo anapohitaji bila ya mwanaume kufumbua mdomo wake anaonyesha jinsi gani anajali uchovu wa mwanaume. Hali hii huwashinda wake wengi kwani wanaona wamezoeana hawaoni hatari wanayotengeneza kwa uzembe huo.
MAHAWARA HUANZISHA TENDO LA NDOA
Nimefanya utafiti miongoni mwa makahaba na kuona kuwa makahaba wanajua udhaifu mkubwa wa wanaume kuliko watu wengi waliomo kwenye ndoa. Kahaba anajua kuwa wanaume wanapenda tendo la ndoa basi wapatapo mwanaume huuliza mwanaume anahitaji tendo la ndoa kwa mtindo gani?. Mahawara wanawazidi makahaba kwani wao huanzisha tendo la ndoa kwa mbinu mbalimbali na kwa maneno matamu humweleza mwanaume jinsi gani anavyomiss tendo la ndoa ,na pia huelezea kwa nini hufurahia tendo la ndoa. Hawara anapokuwa chumbani na mwanaume huwa hachelewi kuvua nguo au kuanza kumvua nguo mwanaume
Wanawake wengi wangependa tendo la ndoa litanguliwe na mazungumzo ya kawaida ndipo tendo la ndoa lifuate wakati wanaume wangependa kuanza tendo la ndoa na mazungumzo yafuate.Tofauti hizi humchanganya akili mwanaume na mwishowe anamwona mkewe kuwa ni wa daraja la chini kabisa na mtazamo huu ndio unaopelekea tendo la ndoa kufanyika mara chache kwa wiki.Kupungua kwa kasi hii kunamletea hawara sifa nyingi kwani hawara hakubali mwanaume aishie roundi moja tu jambo ambalo wake wengi huliona kuwa la kwaida kabisa.
Utaona vizuri uzito wa jambo hilo iwapo utafahamu kuwa wanaume wengi baada ya roundi ya kwanza ya tendo la ndoa hupata shida kuanzisha roundi ya pili na jambo hilo husumbua akili na moyo wa wanaume wengi sana. Wanawake wangefahamu hilo basi wanaume wasingeona kuwa ni tatizo kuchelewa kupata roundi ya pili.
Mahawara wameliona hilo na wanafanikiwa kuwaonyesha wanaume utofauti uliopo kati ya hawara na mke.
MAHAWARA HUWA NA SHUKRANI KWA SHANGWE ZAIDI  
Wanaume hupenda kujisikia kuwa wanafanikiwa katika kila jambo na mwanamke anapoonyesha shukrani zake kwa shangwe baada ya kufanyiwa jambo fulani huleta furaha kwa mwanaume. Hawara hutoa shukrani kwa kukumbukwa na kupigiwa simu au kutumiwa SMS na mengi kama hayo.Mambo hayo madogo madogo humfanya mwanaume ajione kuwa ni wa thamani na ni mtoshelezaji muhimu kwa mwanamke huyo.
MAHAWARA HUWEKEZA KATIKA MUONEKANO WAO
Kumvuta mtu ni rahisi lakini kudumisha hali ya mvuto ni kazi kubwa. Mahawara hujitahidi kuangalia uzito na unene wa miili yao, huvaa nguo ambazo hutibua  tamaa  ndani ya roho na mwili wa mwanaume. Ili kufanikisha hilo mahawara huwekeza katika kutafuta mavazi mazuri na ya kiwango. Huchagua mitindo mizuri ya nguo ili kudumisha mvuto Kwa mwanaume.
MAHAWARA HUPENDELEA KUCHEZEA UUME WA MWANAUME NA PIA WAO WENYEWE KUCHEZEWA UKE WAO
Mwanaume ni uume, na iwapo mwanamke atajitunza na kufaulu kutumia mbinu mbalimbali kuchezea uume kwa ustadi mkubwa basi huyo atakuwa na nafasi kubwa katika moyo wa mwanaume huyo.
Wanawake wengi hupuuzia na kutojali eneo hili na mara nyingi ninapoongea na wanawake najikuta nashangaa kwanini eneo hili linakuwa giza nene kwa wengi .Uume na korodani za mwanaume ni eneo muhimu katika kumridhisha mwanaume wakati wa tendo la ndoa na ni wajibu wa mwanamke kutafuta njia za kumsisimua mwanaume katika maeneo haya.
MAHAWARA HUKUBALI KUFANYA TENDO LA NDOA MARA NYINGI ZAIDI 
Kama nilivyotangulia kusema hapo juu ni kweli mahawara hujua udhaifu wa wanaume upo katika tendo la ndoa hivyo huwa hawatoi visingizio vyovyote vya kukataa tendo la ndoa pale mwanaume anapohitaji.
Mahawara hufanya hivyo hata pale ambapo hawajisikii kufanya hivyo ili mradi tu wanaona mwanaume anafurahi uhusiano huo mara kwa mara.
Ili uweze kuona kazi waliyonayo hebu angalia mafundisho ya mtu mmoja ambae anafundisha mahawara. Yafuatayo ni masharti ya kuwa hawara
(1) UWE MSIRI
Kumbuka kwamba iwapo utasababisha mke wake ajue siri ya mume wake huyo mwanaume atakuchukia mara moja
(2) FANYA KAZI YA ZIADA KULIKO MKE WAKE
Wewe unaweza kuachika mke wake sio rahisi kwani wana watoto na hata wakiachana itawapasa wagawane mali zote. Kumbuka kuwa anachotafuta kwako ni starehe na faraja asahau maumivu mbalimbali, jitahidi umpe vitu adimu ambavyo havipati  toka kwa mke wake fanya muda muwapo pamoja kuwa vigumu kusahaulika kwake.

Related Posts

0 Response to " MAHAWARA WANAOFANIKIWA KUNG’ANG’ANIWA"

Post a Comment