1. Mchepuko wa Lami: huu ni ule ambao
hauombi pesa, upo njema unajua designer
zote, katulia hana mapepe, uwe nae usiwe
nae maisha yake yanaendelea.
2. Mchepuko wa Vumbi: huu ni ule ooh sina
pesa, naomba vocha, sijui simu imekufa,
charge iko low, ooh nipo saloon nadaiwa elfu
thelathini nitumie kwa tigopesa, naomba
nauli, nadaiwa kodi, mtoto wa shangazi kaja,